Rapa Bobby Shmurda amekosa dhamana tena ikiwa ni jaribio la sita toka ameingia jela December mwaka jana.
Mwanzoni mwa wiki hii palikuwa na taarifa kuwa mawakili wa Bobby walitayarisha sababu “bulletproof” zakumpa dhamana rapa huyu ambaye dhamana yake ni dola milioni 2.
Bobby Shmurda alikuwa jela toka december mwaka jana akikabiliwa na kesi ya kukutwa na silaha kinyume cha sheria, kupanga mauwaji na kukamatwa na dawa za kuleya.
Bobby Shmurda atakuwa mahakamani tena Jan 11 2016
Post a Comment