BARCELONA WATWAA KOMBE LA DUNIA LA VILABU

BOFYA HAPA UJISHINDIE ZAWADI YA GARI KILA SIKU=> CLICK AND WIN A CAR=> Click Here=>

Wachezaji wa Barcelona wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Klabu Bingwa Dunia kwa mara ya tatu baada ya kuwafunga River Plate ya Argentina kwa mabao 3-0
Wachezaji wa Barcelona wakishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Klabu Bingwa Dunia kwa mara ya tatu baada ya kuwafunga River Plate ya Argentina kwa mabao 3-0
Lionel Messi amerudi tena kwa kasi ya aina yake kutoka majeruhi na kufunga goli murua huku Barcelona ikiwatungua River Plate ya Argentina kwa 3-0 na kuchukua ubingwa wa Club World Cup kwa mara ya tatu.
Messi alifunga goli lake mnamo dakika ya 36, kabla ya Muruguay Luis Suarez kuongeza mengine miwili  mnamo dakika za 49′, 68′ katika mchezo uliopigwa kunako huko Yokohama.
Neymar, Luis Suarez na Lionel Messi wakishangilia baada ya kupata bao la kwanza lililofungwa na Messi.

FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MTANGANJIA Published.. Blogger Templates
Back To Top