Baada ya CAF kukataa kuusogeza mbele mchezo wa Yanga sc dhidi ya TP Mazembe ambao Yanga walipendekeza uchezwe tarehe 29 mwezi huu lakini CAF wamesimama kwenye maamuzi yao na mchezo kubakia kama ilivyopangwa.
NA je baada ya mmiliki wa TP Mazembe kupata...
Serikali Yakanusha Madai Kuwa Haina Mpango wa Kuwapanga Vijana Waliohitimu Kidato cha Nne kwenda kidato cha Tano

Serikali imekanusha madai ya kuwepo kwa taarifa ya kuwa haina mpango wa kuwapanga vijana waliohitimu kidato cha nne kwenda kidato cha tano kwa sababu mbalimbali.
Akiongea leo Bungeni Mjini Dodoma, Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa...
Magufuli: Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Pumzika Kwa Amani.......Wewe upo Salama, Usisikilize kelele za Nje

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amesema kwamba serikali itawalinda wastaafu nchini wakiongozwa na viongozi wakuu wa umma ili wawe na heshma yao ndani ya jamii.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Jijini Dar es salaam...
VIONGOZI WA CUF WAPONDWA KWA KUKOSA UZALENDO.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamekishiutumu Chama cha Wananchi (Cuf) pamoja na viongozi wao kwa kukosa uzalendo kutokana na kauli zao za kuunga mkono wahisani kuisitishia misaada Tanzania.
Hayo yalisemwa na Mwakilishi wa kuteuliwa...
SAKATA LA DIAMOND KUTOBOA PUA HILI HAPA
Kwa saa kadhaa zimeenea taarifa za mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz kuonekana katoboa pua, hii habari imepewa nguvu kutokana na picha aliyoipost Diamond mwenyewe kwenye Instagram akionekana katoboa pua.
Ukweli ukoje? …ukweli ni...