Baada ya CAF kukataa kuusogeza mbele mchezo wa Yanga sc dhidi ya TP Mazembe ambao Yanga walipendekeza uchezwe tarehe 29 mwezi huu lakini CAF wamesimama kwenye maamuzi yao na mchezo kubakia kama ilivyopangwa.
NA je baada ya mmiliki wa TP Mazembe kupata kesi na kuhukumiwa kwenda miaka mitatu jela je itaiathiri klabu hiyo.Bofya hapa chini kupata uhondo wa wachambuzi mahiri Tanzania.
Post a Comment