WAIGIZAJI HAWA WACHUANA VIKALI KUIGIZA FILAMU YA OBAMA

BOFYA HAPA UJISHINDIE ZAWADI YA GARI KILA SIKU=> CLICK AND WIN A CAR=> Click Here=>

obamaMwigizaji kutoka Marekani Will Smith ameweka wazi kuwa ana wasi wasi staa wa filamu wa Uingereza Idris Elba anawza kuimba ndoto yake ya kuigiza kama Obama kwenye filamu ya maisha ya rais huyu. Filamu hii inayomzungumzia rais wa 44 inategemewa kuwa kubwa na kugusa wengi.
Will Smith aliulizwa kuhusu kuigiza kama Obama akasema “Wiki chache zilizopita mimi na Obama tuliongea jambo hilo“.
Na kuhusu Idris Elba kuiba nafasi hio ya kuigiza kama Obama Will Smith amesema “Idris ana lafudhi ya Uingereza na akiongea anasikika kama msomii sanaa, mimi nimesha fanya mazoezi ya kuongea kama Obama, sasa yeye ajipange“.
alg-smith-elba-jpg

FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MTANGANJIA Published.. Blogger Templates
Back To Top