Kupitia mahojino hayo Van Gaal alisema najua mtaandika yote hayo,na kwa Sasa hatupo kwenye nafasi nzuri lakini kumbukeni Wiki nne zilizopita tulikuwa Namba moja kwenye Ligi na baada ya Wiki nne tunaweza kuwa wa Kwanza tena.
Mwisho Vaan Gaal aliwaambia Waandishi katika mkutano huo kuwa Nawatakia Krismasi njema na Mwaka Mpya mwema , na Furahieni Mvinyo na Mikate pamoja na Nyama ya Kusaga.
FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>


Post a Comment