TAMKO LA SERIKALI KUHUSU DAWASCO HILI HAPA

BOFYA HAPA UJISHINDIE ZAWADI YA GARI KILA SIKU=> CLICK AND WIN A CAR=> Click Here=>

Profesa Mbarawa alitoa agizo hilo alipofanya ziara ya kushtukiza katika makao makuu ya DAWASCO. Mbarawa amesema serikali ya awamu ya tano imejizatiti kuhakikisha kunakuwa na maji salama na wanawake hawapati shida ya kutembea umbali mrefu kutafuta maji.
               
Kati ya mambo aliyoahidi Rais Magufuli wakati wa kampeni zake, ni kuweka mikakati ya kuhakikisha kunakuwepo na maji safi na salama ili kumaliza tatizo la ukosefu wake lililopo tangu nchi ipate uhuru.
FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MTANGANJIA Published.. Blogger Templates
Back To Top