NICKI MINAJI AWEKA NYUMBA ZAKE 2 KAMA DHAMANA YA KAKA YAKE ANAYEKABILIWA NA KESI YA UBAKAJI.

BOFYA HAPA UJISHINDIE ZAWADI YA GARI KILA SIKU=> CLICK AND WIN A CAR=> Click Here=>

minaj brother
Kaka wa rapa Nicki Minaj ‘Jelani Maraj’ anakabiliwa na kesi ya upakaji wa mtoto mwenye miaka 13.
Mtandao wa PageSix unasema Jelani Maraj alikamatwa Jumanne ya December 1 mjini New York kwa makosa ya ubakaji na uthalilishaji wa kijinsia wa mtoto wa miaka 13.
Rapa Nicki Minaj ametoa pesa kiasi cha dola $100,000na kuweka hati za nyumba zake mbili ili kaka yake kupata dhamani.Kaka yake Minaj alifunga ndoa mweiz wa nane mwaka huu.
FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MTANGANJIA Published.. Blogger Templates
Back To Top