Rais John Pombe Magufuli ametimiza mwezi mmoja tangu alipo apishwa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam Novemba 5,kutokana na kasi ya uongozi aliyokuwa nayo kwa kushirikiana na viongozi wenzake akiwemo makumu wa rais Samiha Hassan Suluhu na waziri mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, wameweza kuokoa kiasi cha cha shilingi 997.4 Bilioni,karibia na Trilioni 1 ambazo zilikuwa zitumike kwa matumizi yasiyo ya lazima na ukwepaji kodi.
FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>
Post a Comment