NASH MC KUACHIA NGOMA IITWAYO MAALIM PONDA

BOFYA HAPA UJISHINDIE ZAWADI YA GARI KILA SIKU=> CLICK AND WIN A CAR=> Click Here=>




Msanii Mchenguaji katika medani ya Hip Hop Nash Mc yupo mbioni kuachia ngoma yake mpya iitwayo Maalim Ponda.
Ngoma hii inapatikana katika Ep yake ya MCHOCHEZI.
                                                                                 mtanganjia.blogspot.com



Wimbo huo unatarajiwa kutoka siku ya Ijumaa wiki hii. Pia ikumbukwe pia  ni siku kadhaatu zimepita tangu  Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda aliyekuwa akituhumiwa kwa makosa ya uchochezi baada ya mahakama kutoridhishwa na ushahidi wa upande wa mashtaka na hivyo kuonekana hana hatia.

mtanganjia.blogspot.com FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MTANGANJIA Published.. Blogger Templates
Back To Top