HII NDIO NCHI INAYOTISHA KWA RUSHWA AFRIKA

BOFYA HAPA UJISHINDIE ZAWADI YA GARI KILA SIKU=> CLICK AND WIN A CAR=> Click Here=>

JARIDA maarufu duniani la hali ya uchumi la Forbes limefichua kuwa nchi ya Kenya inaongoza kwa Rushwa miongoni mwa nchi vigogo Duniani.
Taarifa katika jarida hilo ambalo pia hutaja hali za uchumi za watu mbalimbali na mataifa mbalimbali imesema kuwa hali hiyo inaweza kuzorotesha uchumi wa taifa hilo linalokuwa kwa kasi miongoni mwa mataifa maskini duniani


FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MTANGANJIA Published.. Blogger Templates
Back To Top