Unadhani ni kwanini wanawake wengi huacha kujipenda baada ya kupata watoto? Majukumu yanakuwa mengi zaidi ama?
Nimekutana na video moja ya comedy kutoka +256 ya mtu wetu Kansiime Anne ambapo anaongelea sababu za kwanini wanaume wengi huamua kucheat wake zao na wanawake wengine baada ya kupata watoto… na kwenye kuitazama nimegundua kuwa kumbe warembo wetu wengi huacha kujipenda pale wanapobarikiwa na watoto! Je ni kweli?
Post a Comment