Rapa 50 Cent afungua kesi dhidi ya rapa Rick Ross akidai katumia mdundo wake wa In Da Club kwenye mixtape yake bila ruhusa yake.
50 Cent anadai fidia ya dola milioni mbili kutoka kwa Rick Ross kama fidia ya kutumia mdundo wa “In Da Club,” kwa mujibu wa mtandao wa TMZ.
Wimbo huu upo kwenye mixtape ya Rick Ross ya Renzel Remixes project na 50 Cent amesema Rozay amefnya wimbo huo na kazi hio ilikupata pesa za kutangaza album yake mpya ya Black Market.


Post a Comment