NASH MC AWACHENGUA WAPENZI WA HIP HOP MJINI PRETORIA AFRICA KUSINI | TAZAMA PICHA

BOFYA HAPA UJISHINDIE ZAWADI YA GARI KILA SIKU=> CLICK AND WIN A CAR=> Click Here=>




Msanii mchenguaji mahiri katika medani ya Hip Hop nchini Tanzania amefanikiwa kuwachengua vilivyo mashabiki wake waliojitokeza katika onesho lake lililofanyika mjini Pretoria nchini Afika ya Kusini.




Onesho hilo linakuwa ni la pili kufanywa na Nash Mc ambalo onesho la kwanza lilifanyika mjini Johannesburg .
Nash Mc ameoneshwa upendo wa hali ya juu na jamaa ,marafiki na watanzania wengi waishio nchini Afika ya Kusini kwa kujitokeza kwa wingi katika shows zake mbili alizozifanya nchini humo.







mtanganjia blog











mtanganjia.blogspot.com












































































FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MTANGANJIA Published.. Blogger Templates
Back To Top