HIZI NDIZO MUVI KALI ZA BONGO ZILIZOINGIA KWENYE TUZO ZA AMVCA 2016

BOFYA HAPA UJISHINDIE ZAWADI YA GARI KILA SIKU=> CLICK AND WIN A CAR=> Click Here=>

Ni kitu kizuri sana kukuta sanaa ya Tanzania inatoboa na kugusa headlines nje ya mipaka ya Tanzania, kama vile ambavyo tumeona Tuzo kadhaa za muziki zikiletwa TZ na mastaa wetu kutoka nje ya mipaka, basi nikusogezee na hii list ya mastaa ambao wamefanikiwa kuwa sehemu ya walioingia kwenye category za Africa Magic Viewers’ Choice Awards (AMVCAs).
Kwenye list ya Watanzania wako na hawa:
1: Staford Kihore (Movie ya Mpango Mbaya)
2: Josephat Lukaza (Movie ya Kitendawili)
3: Elizabeth Michael ‘Lulu’ (Movie ya Mapenzi ya MUNGU)
4: Amil Shivji (Movie ya Samaki Mchangani)
TUZO
List ya washiriki wote hii hapa mtu wangu, na Watanzania wetu wote ndani.
NOMINEES II NOMINEES III NOMINEES IV NOMINEES IX NOMINEES V NOMINEES VI NOMINEES VII NOMINEES VIII NOMINEES X NOMINEES XI NOMINEES XII NOMINEES XIII NOMINEES XIV NOMINEES XV
Unaweza kuingia kwenye link hii kwa ajili ya kupiga kura >>> amvca201
6
FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright MTANGANJIA Published.. Blogger Templates
Back To Top