HII NDIO TIMU NEYMAR ANAYOTAKA KUCHEZEA KWA SASA

BOFYA HAPA UJISHINDIE ZAWADI YA GARI KILA SIKU=> CLICK AND WIN A CAR=> Click Here=>

Mshambuliaji wa Barcelona na timu ya taifa ya Brazil Neymar amesema kuwa anatarajia kuongeza mkataba wake katika timu yake ya sasa ya Barcelona kwani ndio sehemu anataka kuendelea kubaki kuchezea pamoja na uwepo wa changamoto ndogondogo zinazomkabili.
Tayari baba mzazi wa Neymar, amemtaka mchezaji huyo kutokimbilia kusaini mkataba na klabu ya Barcelona hadi hapo litakapomalizwa suala la matatizo ya ukwepaji wa kodi katika usajili wake.
Lakini pamoja na kauli hizo za Neymar Snr. mchezaji huyo amesema anahitaji kuongeza mkataba na timu hiyo kwani ndio sehemu anataka kuendelea kucheza mpira.
Neymar bado ana miaka kadhaa katika mkataba wake unaoisha 2018 lakini amesisitiza kuwa na furaha klabuni hapo huku akiwa ni figure muhimu katika kikosi hicho na nyota sasa ni ya kijani kwa mchezaji huyo kushinda tuzo ya Ballon d’Or siku za usoni.
FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright MTANGANJIA Published.. Blogger Templates
Back To Top