BREAKING NEWS | HILI NDILO BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LILOTANGAZWA LEO>>>>

BOFYA HAPA UJISHINDIE ZAWADI YA GARI KILA SIKU=> CLICK AND WIN A CAR=> Click Here=>

BREAKINGNEWS3
Rais Magufuli
Rais Dk. John Magufuli.

Magufuli: Tutakuwa na mawaziri 19, kuna baadhi ya wizara zitakuwa na mawaziri na hazitakuwa na manaibu waziri. Lengo ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama. Zilitengwa bilioni 2, mawaziri watakapoteuliwa waende semina elezi, baraza nitakaloliteua halitakuwa na semina elekezi na fedha tutaelekeza sehemu nyingine kama ni madawati au kwenye elimu bure.


Ofisi ya Rais, Tamesemi utumishi na utawala bora, Joji Simbachawene na Kairuki, Naibu waziri Jaffo Selemani Saidi

Ofisi ya makamu wa Rais, Muungano naaMazingira: Makamba, naibu Luhaga J. Mpina

Ajira, walemavu: Jenista Mhagama, Naibu nimemtua mbunge, Pos Abdallah ambae ni mhadhiri Dodoma

Ulemavu: Antoni Mavunde

Kilimo, mifugo na uvuvi: WAziri, Mwigulu Lameck Nchemba, Wiliam Nashe naibu

Ujenzi, uchukuzi na mawasiliano: Waziri bado sijamtafuta, naendelea kumfikiria, Naibu waziri Amandus Ngonyani.

Fedha na mipango: Waziri bado, naibu Dkt Ashanti Kijachi

Nishati na madini: Waziri ni Prof Muhongo, naibu Dkt Kalemani

Katiba na sheria: Waziri Dkt Mwakyembe

Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki: Augustino Mahiga nimemteua kuwa mbunge na waziri, Naibu Waziri ni Dr Suzan Alphons Kolimba

Ulinzi na jeshi la kujenga taifa: Waaziri Dr. Hussein Mwinyi

Wizara ya mambo ya ndani waziri ni Charles Kitwanga

Ardhi na maendeleo ya makazi: Waziri ni Wiliam Lukuvi, Naibu Angelina Mabula

Maliasili na Utalii: Waziri bado, naibu waziri ni Injinia Ramo Makani

Viwanda na biashara: Waziri Charles Mwijage

Elimu, Sayansi Teknolojia na ufundi: Waziri Bado hajapatikana lakini Naibu ni Stella Manyanya

Wizara ya Afya maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto: Ummy Mwalimu, Naibu ni Kingwangala

Habari, utamaduni, wasanii na michezo: Nape Nnauye, Naibu waziri Anna James Wambura

Wizara ya maji na umwagiliaji: Makame Mbarawa, Naibu ni Isack Kamwene


TAZAMA VIDEO HAPA
FUNGUA HAPA KUSHINDA ZAWADI KEMKEM=>CLICK HERE TO WIN => Click Here=>

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright MTANGANJIA Published.. Blogger Templates
Back To Top